03 January, 2007

Hodi Hodi Mtandaoni

Shukrani za pekee kwa rafiki yangu msangimdogo mwenye kumiliki blogi za msangimdogo na fikiri kwa ushawishi wake mkubwa na msaada wake mkubwa katika kufanikisha mimi kujiunga na Jumuiya ya waandishi wa mtandaoni wa kitanzania. Ningali mchanga sana hivyo natarajia msaada mkubwa kwenu nyote katika kunifikisha mbali zaidi kwenye kuielimisha jamii.

Nabisha hodi nikitarajia hamtakuwa wachoyo mtanikaribisha.